![]() |
| Ushiriki wa wazazi na wanafunzi katika usafi Hospitali ya Bombo |
![]() |
| Wanafunzi wa shule ya msingi Chuda kitengo cha viziwi na wa shule ya Sekondari ya Ufundi Tanga pia walikuwa ni sehemu ya jamii walioshiriki usafi katika hospital ya Rufaa Bombo. |
![]() |
| Mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya NAPD Jackson Tarimo akishiriki kufanya usafi katika hospitali rufaa ya Bombo kama sehemu ya kuadhimisha wiki ya viziwi Duniani |
| Mwenyekiti wa CHAVITA TAIFA bwana Nidrosy Mlawa akifafanua jambo mbele ya mgeni rasmi, katibu tawala wa mkoa wa Tanga,kulia alieshika maiki ni mkalimani |





No comments:
Post a Comment